Tyler_Jonz KE

Tyler_Jonz KE

Share

23/04/2025

Die with memories,Not Dreams!
tyler jonz
Omoisi_bwo_mokogoti

04/02/2025

Some years ago I remember my shosh alikua anapika ugali jikoniπŸ˜‹, na ilikua msimu wa njaa 1kg ilikua around 180😳😳..so shosh alikua amepata unga mahali atupikie kaugali at least tupunguze njaa sa alipika Omena kwanza akaweka pending ndio apike ugali😁😁, maji yakachemka akapiga ugali poa.. sa ilikua time aendee sahani kwa nyumba kubwa akaacha jikoni wazi bila Mtu kumbe kuna jamaa hapo nje alikua anachunguzaπŸ˜‚.
So after shosh kuingia kwa nyumba msee aliingia jikoni akachukua ile sufuria ya mboga akawekelea kwa ile sufuria ya ugali msee akatoka mbioπŸƒπŸƒ. Shosh kufika jikoni hakuna kitu na hapo ndio tulipata ticket ya kulala njaa kiroho safi,asubuhi kuamka ndio tulipata sufuria kwa mahindi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚βœ‹βœ‹βœ‹βœ‹......That man where you are I still wish you success in lifeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

15/03/2024

kizungu ilikuja na meli
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

16/02/2024

My life is like *GOtv* leave it or love it 😹😹😹
....πŸ’”πŸ˜ŽπŸ˜Ž

05/02/2024

Valentino inaleta shida wananguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜­Jana niliteleza nikaanguka akaniambia its over between us ju hawezi date mtu akona kifafa😟😩

Want your business to be the top-listed Media Company in Narok?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Majengo
Narok
20500