PUT ALL inside
hello friends๐ฅฐ๐ฅฐ
10/09/2025
TANZANIA ๐น๐ฟ- Kiongozi wa upinzani Tundu Lissu yupo gerezani kwa tuhuma za uhaini. Kwa hivyo Rais Samia atakuwa kwa uchaguzi peke yake.
2. UGANDA ๐บ๐ฌ- Kiongozi wa upinzani Kizza Besigye yupo gerezani kwa tuhuma za uhaini na kimiliki silaha kinyume na sheria. Kwa hivyo Museveni atakuwa kwenye debe peke yake bila mpinzani.
3. RWANDA ๐ท๐ผ - Kiongozi wa upinzani Victoire Ingabire yupo gerezani kwa tuhuma za uchochezi.
4. BURUNDI ๐ง๐ฎ- Kiongozi wa upinzani Agatha Rwasa ameshapewa onyo asionekane akifanya siasa hadhalani. Na akipatikana apigwe risasi. Anaishi Kenya kwa kihofia maisha yake. 5. 5. SOUTH SUDAN ๐ธ๐ธ- Kiongozi wa upinzani ambaye pia ni makamu wa rais Riek Machar gerezani kwa tuhuma za uchochezi.
7. KENYA ๐ฐ๐ช- Kiongozi wa upinzani Raila Odinga analipwa na serikali, anatumia magari ya serikali, ndege za polisi na wanajeshi, na kila kitu anapewa na serikali ndio atulie asiwe msumbufu na aache kuikomoa serikali.
Kenya ndio nchi ina democrasia zaidi bara la africa
26/02/2025
For me it's not till death do us part, it's till disrespect do us part ๐. I'm not a rehabilitation center for badly raised humans
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the public figure
Telephone
Website
Address
Mombasa Road
Machakos