Valary sibi

Valary sibi

Share

24/05/2024

Mungu nae mi tu ndo ananilindaaa

21/05/2024

Follow my page

03/04/2024

Kuna siku nilialikwa na crush kwenda kumtembelea na akaniambia niende k**a nimejipanga juu nitarudi kesho yake☺️weeh finally 🥰nilikuta nimengojewa stage juu niliambiwa nisiende mapema ndio nipate ametokea job.

Kufika Kwa nyumba nikaonyeshwa kitchen kulikuwa na nyama nikapika wetfry na kaugali.
Vile tu imeiva nikitaka kuserve tukule nikasikia doorbell jamaa kuchungulia akakuja akaniambia nitoke kitchen haraka nijifiche kumekujwooo🙆

Nilifunguliwa mlango ya nyuma nikaambiwa niingie Kwa tank ilikuwa hapo😢 kidogo nikasikia wakisheka Kwa shower nikajua baas hii ndio chance yangu ya kutoroka.Mimi huyooo...........

Check first comment uone vile kulienda💔😭💔😭💔

# #

01/04/2024

God is always taking care of me 🥰😍

29/03/2024

Follow for follow

28/03/2024

Wako Ako na pesa ama anakupigia na Airtel 😂

28/03/2024

Huyu nik**a ni mchokozi ama aje

Want your business to be the top-listed Food & Beverage Service in Eldoret?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Bungoma
Eldoret