Busia County Media
07/12/2023
Waziri Kindiki hawa polisi wa Nambale hupewa tu mafuta ya kushika wauzaji na wanywaji wa chang'aa pekee? Hapa Nambale bodaboda wanne wameuwawa mchana na hawa polisi wameshindwa kuwakamata wahusika, kazi yao ni kushika watu wa chang'aa baada ya kusanya ushuru kwao kila mwezi.
Want your business to be the top-listed Business in Busia?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
BOX 441 Nambale
Busia
549