Zanzibari Yetu
03/11/2014
Bilal akutana na wajumbe wa Tume ya Katiba http://wp.me/p2Hr2P-4H3
Bilal akutana na wajumbe wa Tume ya Katiba [ 1 more word. ]
02/11/2014
Wapinzani waseme ‘haya twende’ http://wp.me/p2Hr2P-4GU
Wapinzani waseme ‘haya twende’ MTOTO anapozaliwa hutoa kilio na anapochelewa kufanya hivyo huonekana kuwa sio jambo la kawaida na kuna kuwepo wasi wasi juu ya hali ya mtoto huyo. Inapotokea mtoto hajatoa hicho kilio, mzazi k**a anajiweza wakati huo au mtu yeyote yule aliyekuwa karibu humpiga vikofi vidogo mtoto huyo kwenye makalio au mapaja ili alie. [ 1023 more words. ]
01/11/2014
Mdahalo: Mchakato wa Katiba Mpya http://wp.me/p2Hr2P-4GM
Mdahalo: Mchakato wa Katiba Mpya Visit the post for more.
31/10/2014
CCM msijifunike shuka, tayari kumekucha http://wp.me/p2Hr2P-4GE
CCM msijifunike shuka, tayari kumekucha Na Salim Said Salim Kwa kawaida Waingereza huwa hawapokei haraka mabadiliko, iwe katika mfumo wao wa maisha, siasa au mambo mengine. Mwenendo huu huenda ukawa ndio uliopelekea hata kuwepo chama cha siasa cha Wahafidhina (Consevatives) ambacho hivi sasa kiongozi wake David Cameron ni Waziri Mkuu. [ 1265 more words. ]
29/10/2014
Rais aipasua kichwa Ukawa 2015 http://wp.me/p2Hr2P-4Gr
Rais aipasua kichwa Ukawa 2015 Dar es Salaam. Baada ya vyama vinne vya upinzani nchini kusaini makubaliano ya kushirikiana pamoja na kusimamisha mgombea mmoja katika chaguzi zote zijazo, umoja huo sasa unakabiliwa na kazi ngumu ya kuweka sawa mambo, ikiwa ni pamoja na mchakato wa kumpata mgombea urais, kabla ya filimbi ya uchaguzi kupulizwa. [ 449 more words. ]
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
255