PEMA.tv
Karibu katika Kanisa la TAG SGMEC Nyakurunduma, Mwanza, ibada zetu: Jumatano, ibada ya mafundisho ya Biblia saa 10:00-12:00 Ijumaa, Maombi na Maombezi saa 10:00-12:00. Jumapili, ibada ya kwanza saa 1:00-30:30. Ibada ya pili, saa 4:30-6:30. Unaweza kuungana nasi kwa njia ya mtandao kupitia ukurasa wetu wa kijamii facebook kwa anwani ya PEMA.tv wasiliana nasi kwa namba 0767909795. Karibu sana na Mungu akubariki sana
TAG SGMEC Nyakurunduma. 0767909795 Tarehe 25/6/2026. Saa 11:00-12 jioni. MHUBIRI NI NAOMI MALEKO
WIKI YA PILI YA SEMINA
(Siku ya Tatu) TAG (SGMEC) Nyakurunduma. Tarehe 24/6/2026. Saa 11:00-12 jioni. Mhubiri Mch. JOEL M***A SONSOMA. Namba ya sadaka. 0612609595. Majina Pendael silili kingu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mwanza
33110