ACDM NCA Partner

ACDM NCA Partner

Share

Photos from ACDM NCA Partner's post 29/05/2025

Utoaji Elimu katika shule ya Msingi Miembeni iliyopo katikq kijiji cha Mvomero ikiwa na lengo la kujenga uelewa kwa mabinti wadogo ambao wamefikia umri wa kubalehe kwa kutambua hitaji muhimu la kujisitiri pindi wanapokuwa katika Hedhi.
Elimu hii imewezeshwa na Afisa ustawi wa Jamii kutoka Halimashauri ya Wilaya ya Mvomero kwa kushirikiana na uongozi wa Mradi.
Kanisa Anglikana kwa kushirikiana na wadau wake wa Norwegian Church Aid Tanzania wamewezesha ugawaji wa taulo za k**e ambazo zinatumika tena (Re-usable pad)baada ya kufuliwa na kusaidia kupunguza gharama ya manunuzi kwa jamii ya hali ya chini.

Photos from ACDM NCA Partner's post 17/05/2025

Utambulisho wa mradi mpya wa EDFS(Economic Development and Food Security) utakao tekelezwa kwa miaka mitano (2025-2029)ukihitimishwa kwa Wilaya tatu ambazo mradi huu utatelezwa kwa Kilosa,Mvomero na Gairo katika vijiji 11.
Mradi huu unafadhiliwa na Norwegian Church Aid Tanzania na kutekelezwa na Kanisa Anglican Dayosisi ya Morogoro kupitia shirika lake la DDSCDO.
Mradi huu utakuwa na unalenga kutoa elimu na kuwezesha katika nyanja zifuatazo Usalma wa chakula,uhifadhi wa Mazingira,kupinga Ukatili wa Kijinsia,Kupambana na Usawa,Ujenzi wa amani.
Ili kufikia matokeo tarajiwa ya Mradi njia zitakazo tumika ni pamoja na uundaji wa vikundi vya VICOBA, ushirikiano na taasisi wezeshi za Kiserikali na Binafsi,Kujengea jamii uwezo wa kusimamia mradi kupitia mitandao ya vikundi,uundaji wa kamati mbalimbali za kufuatilia Rasimali za Umma(PETS/SAM),Ujenzi wa amani kupitia jukwaa la usuruhushi la mahusiano ya Dini mbalimbali.
Katiia utambulisho ulihusisha wadau mbalimbali wa maendeleo ikiwemo Wakuu wa Wilaya,makatibu Tawala, Wakurugenzi pamoja na wakuu wa Idara mbalimbali.

Want your organization to be the top-listed Government Service in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dumila Township Kilosa
Morogoro