AfyaCheck
21/01/2024
SaBABU ZA UKOSEFU NGUVU ZA KIUME.
1.Shinikizo kubwa la damu
2.Msongo wa mawazo
3Kiwango Cha chini cha homoni ya testosterone
4.Uvutaji wa sigara
5.Ulevi kupindukia nk
Wasiliana na daktari kwa ushauri na tiba
Whatsapp no 0719530716
19/01/2024
JIUNGE UPATE MAFUNZO YA KUONDOA KITAMBI NA KUPUNGUZA UNENE
ONDOA KITAMBI WhatsApp Group Invite
11/01/2024
6.ALBENDAZOLE
Dawa hii hutumika kutibu minyoo lakini ikitumiwa na mama mjamzito, husababisha mimba kutoka. Madaktari hushauri kutumika kwa dawa nyingine mbadala kutibu minyoo mfano mebendazole lakini siyo Albendazole.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na daktari kwa ushauri.
Whatsapp no 0719530716
07/01/2024
2) Misoprostol
Hii ni dawa ambayo ipo kwenye kundi la prostaglandins analogue, ambazo hutumika kuongeza njia ya mlango wa uzazi kipindi cha kujifungua. Pia hutumika kutibu vidonda vya tumbo. Hii ni hatari kwa mama mjamzito kwa sababu husababisha mimba kutoka (miscarriage).
Wasiliana na daktari kwa maelezo zaidi.
Whatsapp no 0719530716
DALILI ZA KIFAFA CHA MIMBA(ECLAMPSIA)
1.Shinikizo la damu kuwa kubwa
2.Maumivu ya kichwa
3.Kuvimba uso na mikono
4.Kupata shida wakati wa kukojoa
5.Kuongezeka uzito
6.Matatizo ya kuona nk
Wasiliana na daktari kwa ushauri na tiba
Whatsapp no 0719530716
Click here to claim your Sponsored Listing.