OSIA PAGE
hi
nayeye yupo tu
mimi mwenye nipo tyu
16/07/2025
hapo ni wap wazee
big boy from sway town
15/07/2025
SIMBA SC Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Usajili: "Tupo Imara, Taarifa Za Mitandaoni Ni Uzushi" 🦁⚽
Kupitia msemaji wake, klabu ya Simba SC imewatakia mashabiki wake Jumatatu njema huku ikiwataka kuwa na subira na utulivu wakati huu ambapo uongozi unaendelea kukamilisha mikakati ya usajili wa wachezaji kwa ajili ya kuimarisha kikosi kwa msimu ujao.
Msemaji huyo pia amepuuza taarifa zinazozagaa mitandaoni kuwa kila mchezaji anayetakiwa na Simba amechukuliwa na wapinzani, akisisitiza kuwa:
“Hizo ni taarifa za uzushi. Wachezaji tuliowataka tumewapata, na wengine hatujawahi kuwahitaji. Wanahusishwa nasi makusudi ili kuongeza thamani yao au kutuchafua tuonekane tumezembea sokoni.”
Amesisitiza kuwa Simba iko imara sana kwenye dirisha hili la usajili, na mashabiki wawe na imani na kazi inayoendelea kufanyika ndani ya klabu.
15/07/2025
hapa vi c😄😅😅😅
hi😅😅😃😃😃😃😄😄
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mbeya