Songwe kwetu

Songwe kwetu

Share

06/03/2026

MKURUGENZI WA JIJI LA MBEYA ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA UWANJA WA MBEYA CITY FC

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Justice Laurent Kijazi, ametembelea eneo litakalojengwa uwanja wa Mbeya City FC lililopo Iwambi, lenye ukubwa wa zaidi ya hekari 10.

Kwa mujibu wa taarifa, eneo hilo litajumuisha uwanja wa kuchezea mechi pamoja na miundombinu mingine ikiwemo vyumba vya biashara na maeneo ya shughuli mbalimbali za kiuchumi zitakazosaidia kuongeza fursa za ajira na kukuza uchumi wa wananchi.

Ziara hiyo ni sehemu ya maandalizi ya kuanza kwa hatua za awali za ujenzi wa mradi huo muhimu wa miundombinu ya michezo katika Jiji la Mbeya. Mradi huo unatarajiwa kuwa kichocheo cha maendeleo ya michezo na shughuli za kiuchumi katika eneo hilo. news.

04/03/2026

Israel yaanzisha wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran huku Marekani ikiwatambua wanajeshi wake waliouawa
https://bbc.in/3Pe8RjL

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Vwawa
Mbeya