Japhet Issa
09/11/2025
Ujumbe kutoka kwa msanii , ni siku chache baada ya Platnumz kujigamba kuwa kwa hapa bongo hakuna kenge yeyote anayemuweza kwenye muziki, marioo kadai kwenye hao kenge yeye hayumo .
24/10/2025
"Nishawahi kuambia Watanzania siku nyingi sana. Hii game ya muziki imetawaliwa na shetani, yaani Tv kubwa duniani na radio kubwa ili zicheze mziki wako na zikupromoti ili uwe juu lazima upigwe miti kwasababu ni utawala wa Shetani.. mpaka Yesu atavyorudi, ndo maana sasaivi mabinti wengi wanakua wa malaya kwasababu Ya Aipohini, wanaendesha magari ya kukodisha ili waonekane wanamagari. Watoto wakiume wanapigwa miti, Madj na watangazaji wakubwa wanapigwa miti pamoja na wasanii.
Kwaiyo hata Wasafi ndo naana niliachana nao, nilimwambia Lukamba unakoelekea na sura yako nzuri nzuri Pid Didy lazima akupake mafuta, na walipigwa miti, si walitafuta Collabo haya walipata sasa.
Mimi nikiwa na laki moja niangu inanitosha, hiyo laki moja niautakatifu. Mwenyezi Mungu alisema kuwa na kiasi."-----amesema mkongwe wa bongo Fleva
30/09/2025
kundi kubwa mjini uvira MUSIC
wafanya mazoezi ya kuuwa mtu hiyo siku ya show le 5/ 10 il faut tumuonyeshe Vladmir shakis boy
K**a sisi ndo bagress gress
mu salle ya KABINDULA
usi tulize nani alipewa sasa zawadi ya Video kali inchini Njo wepeke ujionye
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the public figure
Website
Address
Kigoma