Rap Ghetto - Concious
08/05/2026
Nonstop Tz haitwi Mc anaitwa MCEE huyu ni Lyricist who masters the craft live performance crowd engagement and lyrical skill
Huyu Sio tu master of ceremonies huyu ni host anasherehesha anatawala jukwaa na kufanya vitu vingi zaid
Hapa cjamshushia heshima Ney wamitego lakini najaribu kukueleweasha kujua tofauti kati ya Rappers na Mcee
Unapomtafsiri r***r K**a mwakilishi wa hip-hop badala ya Mcee
Unapotosha watu kwa sababu anaweza kuwa r***r mkali anawakilisha na kutetea jamii yake lakini hafati misingi
Tukisema tutumie Neno kutetea jamii K**a ni msingi wa kumweka katika level ya Umcee tunakosea
Kwa sababu pia na Kuna watu wanatetea jamii kwa mziki wa Haina tofauti je wakiingia kwny categori ya rap tutawaterm K**a ni wasanii wa hip hop hapana lazima tufuate taratibu
Hii hali ya kutokuzingatia taratibu mliwahi kumpa NEY WA MITEGO tuzo ya hip hop mbele ya FIDQ NA JOHMAKINI
Kwa nyimbo alioimba na diamond haikuwa sawa hapa hip-hop haikutendewa haki
MCEE ana rap anatumia midundo sahihi ya hip-hop na anaandika lyrics katika utaratibu unaotakiwa hizo zote ni kanuni ambazo Mcee anatumia katika shughuli zake za kurap
Lakini Ney wa Mitego ana nyimbo zake nyingi tu alikuwa anaimba hawezi kuwa Mcee ila ni r***r mzuri anawakilisha jamii
Click here to claim your Sponsored Listing.