DRC - kingdom Embassy
20/02/2026
MUNGU ALIYE MWAMINIFU
[ NYASAYE MA JA-ADIERA)
>
> Je, umekuwa ukifanya kazi kwa bidii lakini mikono yako haizalishi unachostahili? Umekuwa ukichota maji kwenye gunia?
>
> Jumapili hii pale DRC Kingdom Embassy, Ugombolwa, tunakwenda kuvunja kuta za kizuizi. Kuna upako maalum unaokuja kuifanya mikono yako ianze "Kuzalisha" tena! (YOH 11:44).
>
> 📍 **Mahali:** Ugombolwa, Tabata-Segerea.
> 🕒 **Muda:**Jumapili Saa 3:00-6:30 Mchana.
> 🚀 ** Usikose Mpenyo wako!
13/02/2026
KARIBUNI WATU WOTE HOSPITALI YA MUNGU KWA WATU WOTE IKO WAZI KWA YAKO
Kwa Huduma na maswali zaidi piga
0757024090/0694559599
Is season of Favor anointing
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam