Recoda Tanzania
29/05/2026
βNOURISH TANZANIA β USALAMA WA CHAKULA, LISHE BORA NA KILIMO HIMILIVUβ
π±β¨ Kupitia maadhimisho ya Siku ya Mkulima β Farmersβ Field Day, tunaendelea kushuhudia hatua muhimu katika kuimarisha afya, lishe bora na ustawi wa jamii kupitia shughuli zilizofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, mkoani Manyara.
Wakulima na wananchi walipata fursa ya kujifunza kwa vitendo kuhusu kilimo bora na lishe, pamoja na namna ya kuviunganisha ili kuboresha usalama wa chakula na afya za familia zao. πΎπ₯
Kupitia elimu iliyotolewa, wananchi wameendelea kujengewa uwezo wa:
β
Kuzalisha mazao yenye lishe bora
β
Kuboresha mlo wa familia
β
Kuongeza usalama wa chakula nyumbani
β
Kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi
Mradi wa NOURISH Tanzania unatekelezwa kwa ushirikiano wa SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO na T-MARC kwa ufadhili wa NORAD.
π€ Kwa pamoja tunaweka msingi wa Tanzania yenye:
πΏ Familia zenye afya bora
πΏ Chakula cha kutosha na chenye lishe
πΏ Wakulima imara wenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi
π¬ JE, UNAAMINI KILIMO NA LISHE VINAWEZA KUBADILI MAISHA YA JAMII?
π Tuambie maoni yako hapa chini
π Like k**a umehamasika
π€ Share kuwafikishia wengine ujumbe huu muhimu
π² Na usisahau kufuatilia ukurasa wetu kwa taarifa, mafanikio na simulizi zaidi za mabadiliko chanya kwenye jamii.
βNOURISH TANZANIA β FOOD SECURITY, IMPROVED NUTRITION AND CLIMATE-RESILIENT AGRICULTUREβ
π±β¨ Through the celebration of Farmersβ Field Day, we continue to witness important progress in strengthening health, nutrition, and community well-being through activities carried out in Hanang District Council, Manyara Region.
Farmers and community members had the opportunity to learn practical approaches to improved agriculture and nutrition, as well as how to integrate the two to enhance food security and family health. πΎπ₯
Through the training provided, communities are continuing to build their capacity to:
β
Produce nutritious crops
β
Improve family diets
β
Strengthen household food security
β
Cope with the impacts of climate change
The NOURISH Tanzania Project is being implemented through a partnership between SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, and T-MARC with funding support from NORAD.
π€ Together, we are laying the foundation for a Tanzania with:
πΏ Healthier families
πΏ Adequate and nutritious food
πΏ Resilient farmers capable of adapting to climate change
π¬ DO YOU BELIEVE AGRICULTURE AND NUTRITION CAN TRANSFORM COMMUNITIES?
π Share your thoughts in the comments below
π Like if you feel inspired
π€ Share to spread this important message
π² And donβt forget to follow our page for more updates, success stories, and inspiring community transformation journeys.
HIGHLIGHTS
π±β¨ MPWAPWA YANGβARA KWA KILIMO, LISHE NA AFYA YA JAMII!
Kupitia Mradi wa NOURISH Tanzania, wakulima wa vijiji mbalimbali vya Mpwapwa wanaendelea kupata elimu ya kilimo himilivu, lishe bora na afya ya jamii kupitia Mashamba Darasa (Demo Plots), Siku ya Mkulima (Farmer Field Day) na Siku ya Afya na Lishe ya Kijiji (Village Health & Nutrition Day). πΎπ₯
Kuanzia mashamba darasa ya mtama na alizeti hadi mafunzo ya lishe na upishi wa vyakula vya makundi sita ya chakula, jamii inawezeshwa kujenga maisha bora, afya njema na ustawi endelevu. π¨π½βπΎπ©π½βπΎβ¨
Mradi wa NOURISH Tanzania unatekelezwa kwa ushirikiano wa SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, na T-MARC kwa ufadhili wa NORAD.
Kwa pamoja tunaweka msingi wa Tanzania yenye familia zenye afya, chakula cha kutosha na wakulima wenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. ππ
π±β¨ MPWAPWA SHINES THROUGH AGRICULTURE, NUTRITION, AND COMMUNITY HEALTH!
Through the NOURISH Tanzania Project, farmers from different villages in Mpwapwa continue to receive training on climate-resilient agriculture, proper nutrition, and community health through Demo Plots, Farmer Field Days, and Village Health & Nutrition Days. πΎπ₯
From sorghum and sunflower demonstration farms to nutrition education and cooking sessions featuring all six food groups, communities are being empowered to build better livelihoods, healthier families, and sustainable development. π¨π½βπΎπ©π½βπΎβ¨
The NOURISH Tanzania Project is implemented in partnership with SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, and T-MARC with funding support from NORAD.
Together, we are laying the foundation for a Tanzania with healthy families, sufficient food, and resilient farmers capable of adapting to climate change. ππ
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha
255
Opening Hours
| Monday | 01:30 - 15:30 |
| Tuesday | 07:30 - 15:30 |