Smart Media Tz
18/05/2022
Leo shirika lá Women and Children Welfare Suport limeendesha semina fupi ya uwezeshaji wa mjadala wa uundwaji wa dawati la kijinsia lengo ni kuendelea kupambana na kuzuia Rushwa ya Ngono na ukatili wa kijinsia katika Taasisi za Elimu ya juu na kati Tanzânia. Mjadala huo umehusisha Wakufunzi, wafanyakazi, na viongozi Wa serikali ya wanafunzi katika Chuo cha uandishi Wa habari Fanikiwa journalism school-FJS
Want your business to be the top-listed Media Company in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Olkeriyan
Arusha
Arusha