Smart Media Tz

Smart Media Tz

Share

18/05/2022

Leo shirika lá Women and Children Welfare Suport limeendesha semina fupi ya uwezeshaji wa mjadala wa uundwaji wa dawati la kijinsia lengo ni kuendelea kupambana na kuzuia Rushwa ya Ngono na ukatili wa kijinsia katika Taasisi za Elimu ya juu na kati Tanzânia. Mjadala huo umehusisha Wakufunzi, wafanyakazi, na viongozi Wa serikali ya wanafunzi katika Chuo cha uandishi Wa habari Fanikiwa journalism school-FJS

Want your business to be the top-listed Media Company in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address

Olkeriyan
Arusha