Healthy_tz
31/03/2022
DALILI ZA TEZI DUME
* Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
* Kwenda kukojoa mara kwa mara.
* Damu ndani ya mkojo.
* Kushindwa kukojoa.
* Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
* Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
* Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
* Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika
K**a unaona dalili hizi wasiliana nasi kwa msaada zaidi
Call 255752642660
14/01/2022
Ni vile tunagusa Afya Za watu na Kuokoa ndoa zao…..
Usikubali kuendelea kupata changamoto ndogondogo zilizo na madhara makubwa katika mahusiano yako.
Call 255752642660
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Address
Arusha
208USARIVER