Barbara Simba
31/05/2026
Simba SC imefungua mazungumzo na Fiston Mayele ili kuangalia uwezekano wa kumsajili k**a mchezaji huru.
Mayele ni mchezaji huru hadi kufikia June. Miongoni mwa timu zinazomhitaji ni Kaizer Chiefs. Ila Simba SC wameingia mazima. Taarifa kutoka kwa chanzo changu, mazungumzo yameanza na huenda yakakamilika siku chache hapa Dar es Salaam.
26/05/2026
Glody Likonza Ni Miongoni Mwa Majina Yanayotizamwa K**a ingizo Jipya Katika Eneo La Kiungo Wa Kati(Namba Nane 8) Upande Wa Simba
Glody Likonza K**a Usajili Wake Utakamilika Atakua Ndie Mrithi Wa Allasane Kante Ambaye Amekalia Kuti Kavu Katika Kikosi Cha Simba
Likonza Kwa Sasa Anacheza Usm Alger Ya Nchini Algeria Glody Likonza Amekua Akipata Nafasi Finyu Katika Kikosi Cha Usm Alger Chini Ya Kocha Lamine Ndiaye
Usajili Wa Likonza Unaweza Kukamilika Endapo Simba Wataamua Kuachana Na Allasane Kante.
24/05/2026
Ana lazimisha kufunga sehemu ambazo unaona wazi hawezi kufunga, mpanzu alikuwa ameanza kubadilika ila naona anarudi kuwa yule wa msimu ulio pita.
Simba asipo Pata point tatu Leo lawama lazima ziende kwake.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha
255