TUKIO

TUKIO

Share

12/04/2026

Rubani aliambiwa abebe wagonjwa wa akili (wenda wazimu) kutoka Kenya🇰🇪 kwenda Marekani 🇺🇸. Alikubali na kuwapakia ndani ya ndege yake 🙂. Kila mahali kulikuwa na kelele nyingi.

Baadaye, mmoja wa wagonjwa wa akili alimkaribia rubani na kumwambia: “Tafadhali nifundishe jinsi ya kuendesha ndege?”

Rubani akamjibu: “Nitakufundisha kuendesha ndege ikiwa utawaambia marafiki zako wawache kelele.” 😒
Yule mtu aliye na shida ya akili aliingia ndani. Baada ya dakika chache, kila mahali kukawa kimya k**a malaika aliingia ndani ya ndege. 😌

Baada ya muda, yule mtu alirudi na kumwambia rubani kwamba sasa kila mahali ni shwari. Rubani alifurahi na kumuuliza: “Uliwaambia nini ili watulie?”
Yule mtu aliye na shida ya akili akajibu: “Nilifungua mlango ili waende kucheza nje.”
Rubani alizimia! 🤣🤣🤣😂

25/03/2026

Kenya 🇰🇪 is considering deploying the Kenya Defence Forces Navy to es**rt export ships to the Middle East.

Rising regional tensions have reportedly trapped over 600 vessels linked to the country, raising concerns about supply shortages and exporter losses.

Industry Principal Secretary Juma Mukhwana said in a TV interview that the government is evaluating military-backed protection, including es**rted convoys through high-risk waters.

Want your business to be the top-listed Media Company in Stone Town?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Address

Stone Town
WESTERN