Lewie Comedy
Lewie:Hi beb
Shiroh:πππ
Lewie:N nini babe sikuelewi aki?
Shiroh:πππ
Lewie:kuwa serious cutie
Shiroh:πππ
Lewie: Akh ilove you k**a "Manchester United" team yanguπΉ
Shiroh:πππ
Lewie : ok, ile pesa uliniambia nikutumie nitume kwa hii namba ama ile ingne ?
Shiroh: pole bae , simu ilikuwa na mtoi but tuma kwa ile namba ingne , hii iko na fuliza bebππ
Lewie:ππ
Shiroh:Beb ndio nini sasa?
Lewie:ππ
Shiroh: utatuma ama
Lewie:ππ
Shiroh:kwendah nilijua huna pesa ghasia wew
Lewie:kwa mpesa wataleta jina gani π
Shiroh: Shiroh Makena, I love you bebππ
Lewie:πππππππ€£π€£ good night
Shiroh:labwa na shetani kwa USO ππ
Lewie: you 2
Sisemi Ni mkisiiππlkn
Ameambiwa anyamaze
Kwa dakika tano apewe 10k...
Kufika 4min 30seconds
Akauliza Ni cash ama mpesaπ€£π€£π€£π€£
Beshty yangu ananiitia pombe na niliachanga,but acha niende Nikatae liveπ€π
Madame,Utapata jamaa anakwambia aty tuma picha full,kwani anataka kukutengenezea jenezaπ€π ππ
Click here to claim your Sponsored Listing.